asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Sunday, January 15, 2017

MEEK MILL na DRAKE KUZICHAPA ULINGONI

Baada ya pambano la Soulja Boy na Chris Brown kuwa na mvuto mkubwa duniani, rapper Meek Mill ameomba pambano la ulingoni na Drake.

Ijumaa hii kimesambaa kipande cha video mitandaoni kikimuonyesha Meek akizungumza kuwa anahitaji pambano na Drake lakini sharti lake anataka alipwe dola milioni tano huku akimtaka ex wake Nicki Minaj awe ni mrembo wa ulingoni [Ring girl]. “I’ll break Drizzy the fuck up for five mill. Of course, I would,” amesema Meek katika video hiyo.


“We gonna let Nicki [Minaj] be the ring girl. Y’all would come to see that fight, wouldn’t y’all? Y’all’d spend $100 a ticket for that,” ameongeza.



No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt