asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Friday, June 16, 2017

SIMBA NA YANGA WASHIKANA MASHATI KUMGOMBANIA KIUNGO HUYU

Image result for pius buswita
Ni kama sinema vile, Simba wamesema kiungo Pius Buswita wa Mbao FC ni mali yao kwa kuwa amesaini miaka miwili.

Yanga nao wamesema kuwa kiungo huyo ni mali yao kwa kuwa amesaini miaka miwili na kuonyesha wana uhakika. Wametoa picha yake wakati akisaini.

Wakati anasaini, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Baraka Deusdedit ambaye aliondolewa katika nafasi hiyo, anaonekana akiwa pembeni.


Hali hiyo tayari inazua mkanganyiko na kinachobaki ni zamu ya Simba kuthibitisha kuhusiana na mchezaji huyo.



No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt