asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Tuesday, July 25, 2017

IMEVUJA!! SAID NDEMLA SIMBA NDIO HIVYO TENA,,,!!! AAMUA KUTEMBEA JUU YA NYAYO ZA THOMAS ULIMWENGU

Image result for SAID NDEMLA
Safari ya kiungo Said Ndemla kwenda kufanya majaribio katika klabu ya AFC ya Sweden imewadia.

Hii ni baada ya klabu ya Simba kutoa ruhusa kwa kiungo huyo kwenda kufanya majaribio.

Mwishoni mwa msimu wa mwaka jana, Simba waligoma Ndemla kwenda kufanya majaribio AFC ya Sweden ambaye anaichezea Thomas Ulimwengu kwa kuwa walikuwa wakimhitaji.

Simba walitoa sababu kwamba walikuwa wakimhitaji Ndemla katika mechi za mwisho za Ligi Kuu Bara pia Kombe la Shirikisho.

Ingawa uongozi wa Simba umekuwa hautaki kulifafanua suala hilo, taarifa za uhakika zinaeleza Ndemla ameishapata visa na anaweza kuondoka nchini wakati wowote kwenda Sweden.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt