asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Friday, January 20, 2017

PERFUME YA DIAMOND PLATNUMZ "CHIBU" KUINGIA SOKONI



Chibu Perfume za mkali wa wimbo Salome, Diamond Platnumz zitaingia sokoni muda wowote kuanzia sasa kwa mujibu wa Sallam, meneja wa masanii huyo.

Mwaka 2016 muimbaji huyo alionyesha sample ya perfume hizo hali ambayo ilileta shauku kumbwa kwa mshabiki wa muimbaji huyo.
Ijumaa hii meneja wa msanii huyo, kupitia ‘Insta Live’ amedai tayari mzigo wa perfume hizo umeshaingia mjini na utapatikana katika maduka mbalimbali nchini.
“Mzingo umeingia, utapatikana kila sehemu bado hatujapanga bei,” alisema Sallam huku akionyesha perfume hizo.
Meneja huyo alidai perfume hizo hazitapatikana kwa bei ya chini ya laki moja na huwenda bei ikaongezeka kutokana na ubora manukato hayo.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt