asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Friday, July 21, 2017

KWA SPIDI HII YA YANGA SIMBA LABDA WAKODI BODABODA, MASHINE NYINGINE TENA YASAIN JANGWANI



Yanga imemnasa kiungo kinda mwenye kasi aitwaye, Baruani Yahaya Akilimali na kumsainisha mkataba wa miaka miwili.

Taarifa zinaeleza, Yanga wamefanya umafia na kumtwaa Akilimali ambaye ni mdogo wake na Yahaya Akilimali aliyewahi kuwa nyota wa Simba.

Kiungo huyo alielelezwa kuwa anasoma Uganda, alikuwa ameanza mazoezi na Lipuli ya Iringa kwa lengo la kusajiliwa kwa ajili ya Ligi Kuu Bara.

Lakini Yanga baada ya kugundua mchezo na kuona uwezo wake mazoezini, mara moja walifanya haraka na kumsajili.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt