asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Tuesday, January 10, 2017

Timu zitakazo shiriki kombe la Dunia zaongezwa kutoka 32 hadi 48

Shirikisho la Soka Duniani FIFA hatimaye limepitisha mabadiliko ambapo kuanzia mwaka 2016 timu zitakazoshiriki Kombe la Dunia zitaongezeka kutoka 32 hadi kufikia 48.


Mpango huo ulipitishwa katika mkutano mkuu nchini Uswizi kwa kupigia kura mpango wa kupanua Kombe la Dunia liwe linashirikisha mataifa 48 huku mabara ya Afrika na Asia yakitarajia kunufaika zaidi.
Baada ya mabadiliko hayo, kuanzia katika mashindano ya mwaka 2026, kutakuwa na makundi matatu yenye timu 16 kila moja.
Mpango huo ambao umekuwa ukipigiwa debe na Rais wa shirikisho hilo Gianni Infantino.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt