asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Monday, May 1, 2017

HATIMAYE ROMA ASHINDWA KULIHIFADHI MOYONI.....AMTAJA MBUNGE HUYU WA CCM, SAKATA LA YEYE KUTEKWA


Katika kipindi cha #Clouds360 kinachoendelea muda huu, msanii #RomaMkatoliki ameonyesha kukasirishwa na kitendo cha Mh Kessy ( Mbunge wa Jimbo la Nkasi ) kutaja jina lake Bungeni na kudai kwamba Roma aliimba wimbo kumhusu Rais. Hivi karibuni Mh Kessy aliongelea ' sakata la kutekwa kwa Roma ' na kudai kwamba hayo yalitokea baada ya Roma kuimba wimbo unaomkashifu Rais.

#RomaMkatoliki ameeleza kwamba alisikitishwa na kitendo hicho kwani Mbunge huyo alichokisema kilikuwa kitu cha uongo. " Tena alitaha kabisa jina langu. Akitoka nje ya Bunge yule ukimuuliza hana uhakika. Lakini ameongea vile kwa sababu yeye ana mahali pa kusemea. Je mimi mimi nitasemea wapi ? " - #RomaMkatoliki


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt