asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Thursday, June 29, 2017

ROMA KWELI HII ZAMU YAKE TENA,,,TAZAMA HILI LINGINE TENA

Msanii wa Bongo Fleva, Roma amesema kwa sasa yupo vizuri katika kufanya show.
Kauli ya Rapper huyo inakuja baada ya kuugulia kipindi kirefu cha maumivu tangu alipopatwa na mkasa wa kutekwa. Hapo juzi Roma alifanya show kwa mara ya kwanza.
“Uwezo wangu kwenye performance nipo poa, am good enough, strong enough, hakuna chochote ambacho kimabadilika sana sana kimezidi tu kwa sababu nilikuwa nayaona mapokezi ya watu kabla sijafanya show,” ameiambia XXL ya Clouds FM na kuongeza.
“Hii ndio carrier yangu, ni kama kujua mpira ukijua umejua tu, kwa hiyo technique zile za ku-perform ambazo ninazo zinabakia pale pale, Roma waliyemuona 2005, 2014 nadhani ndio huyo huyo,” amesema Roma


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt