asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Monday, June 26, 2017

YANGA SASA HII NI KALI KULIKO, HATIMAYE WAVUTA KIUNGO MWINGINE MKALI KUZIBA PENGO LA NIYONZIMA,...MJUE HAPA

Image result for telela

Huku zoezi la usajili likiendelea kushika kasi katika timu mbalimbali zinazoshiriki ligi kuu, timu ya Yanga inadaiwa kutaka kumrejesha kiungo wake Salum Telela.

Telela ambaye awali aliwahi kuichezea Yanga kabla ya kwenda Ndanda ya Mtwara, anatarajiwa kurejeshwa kundini ili kuziba pengo la kiungo Haruna Niyonzima aliyeachana na timu hiyo.

Taarifa zinaeleza kwamba baada ya Yanga kuona kiungo wake Niyonzima ametimka, wameamua kumrejesha Telela ili aweze kuziba nafasi hiyo ambayo anaimudu kwa asilimia kubwa.

Kwa sasa kiungo huyo yupo katika mazungumzo na klabu yake hiyo ya zamani ili kuona uwezekano wa kusaini mkataba.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt