asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Monday, December 19, 2016

DARASA,HANSCANA WAPATA AJALI YA GARI TAZAMA PICHA NA VIDEO HAPA

Rapper Darassa, muongozaji wa video za muziki nchini, Hanscana na watu wengine wawili, wamenusurika kwenye ajali mbaya ya gari wakati wakiwa njiani wakitokea Kahama mkoani Shinyanga kwenda Kakola mkoani humo kwaajili ya show.
Gari namba T503 DGQ mali ya Hanscana ikiwa imeharibika vibaya baada ya ajali
Hakuna aliyeumiwa kwenye ajali hiyo iliyotokea mchana wa Jumapili (December 18), ingawa gari hiyo inayomilikiwa na Hanscana imeharibika vibaya. Kwa mujibu wa Darassa, walikuwa wakiendesha kwa mwendo wa kawaida tu wakati ajali inatokea.
“Kwenye speed 60 free road lakini icho kilicho tokea miujiza lakini MUNGU ana miujiza yake pia Mimi na director wangu @hanscana_ producer @mrvs2016 @abbah_process Wote tuko Poa CAN I GET AMAN FOR THAT #muziki,” ameandika Darassa kwenye Instagram.
Wengine waliokuwemo kwenye gari hilo ni rapper Mr VS na producer Abbah.
Rod accident BUT WE GOOOOOOOD “My self @darassacmg @abbah_process @mrvs2016 #MUZIKI God Made thank you,” ameandika Hanscana.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt