Muimbaji huyo anayetokea Morogoro amemtaja mzazi wake huyo kuwa ni mtu anayemuinspire kwa mengi.
“Mfano hai ni kwamba mpaka leo hii hapa, baba yangu bado yupo na mama yangu ni kitu ambacho nakuwaga proud,” Belle ameonekana akisema kwenye teaser ya kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz cha Salama Jabir kitakachoruka kesho Alhamis, saa 3 usiku kupitia EATV.
“Ninavyorudi nyumbani, baba yupo, mama yupo sababu nina rafiki zangu wengi ambao wako na mama zao peke yao wengine wako na baba zao peke yao, so kwangu mimi baba yangu ni mwalimu katika hilo,” ameongeza
USIKOSE PIA HABARI HIZI........
ZITTO: "KAMA RAISI ANAONA BUNGE LINAMKERA TURUDI KWENYE UCHAGUZI TU, ALIVUNJE"...bofya hapa..{{{{{{{{
No comments:
Post a Comment