asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Saturday, March 25, 2017

MPYA: JOSHUA NASSARI AFUNGUKA MAZITO JUU YA MWAKYEMBE NA RIPOTI YA NAPE

Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nasari ameandika ujumbe mzito sana kwa ajili ya kuwakumbusha watanzania hasa Mwakyembe ni Mtu wa namna gani hasa baada ya kusema kuwa Ripoti ya Nape Nnauye juu ya Uvamizi wa RC Makonda alioufanya katika kituo cha Clouds tv.

Nasarri Ambae ni mbunge Machachari sana, kupitia Ukurasa wake wa Facebook ameandika yafuatayo; “Dunia inazunguka kwa Kasi, Leo Mwakyembe anasema hawezi kuifanyia kazi Ripoti ya kamati ya Nape Nnauye kwa sababu ni ya upande moja na upande wa pili haikusikilizwa,Mwaka 2008 Mwakyembe aliwasilisha Bungeni Ripoti ya Richmond iliyomtuhumu Edward Lowassa bila ya kumhoji Mhusika Mkuu kwenye ripoti ya Richmond Edward Lowassa.”

Nini Maoni yako juu ya hili?


1490452540895.png 


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt