asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Tuesday, April 25, 2017

HATIMAYE CCM WAMWAGA DAMU

OCD Kilombero, Salaam!

Ninatoa pole kwa Askari Mwanamke,WP Huruma aliyepigwa kwa tofari kwenye paji la uso na kushonwa nyuzi tano siku ya jana, tarehe 23.4.2017, wakati akilinda na kudumisha amani katika kituo cha kutangazia Matokeo ya uchaguzi mdogo wa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mbasa Kati, mji wa Ifakara.

Tukio hili limetokea wakati bado tunakumbukumbu ya mauaji ya Askari wetu nane yaliyotokea huko Kibiti. Hali hii ya kushambulia na kuwazuru Askari wetu haiwezi KUVUMILIWA.

Ndugu OCD, ninatambua unamtambua aliyemjeruhi Askari wako kwani majeruhi amemtambua na wananchi mashuhuda wanamtambua. Anaitwa Max Temba. 

Ninatambua viongozi wake wa CCM wamekuja leo tarehe 24.04.2017 asubuhi ofisini kwako na kukulazimisha msimchukulie hatua za kisheria kijana wao aliyefanya tukio hilo.

Ninasubiri kuona maamuzi utakayochukua. 

P. Peter Lijualikali
Mb. Kilombero


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt