asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Tuesday, May 2, 2017

KUMEKUCHA!!! MASHABIKI WA SIMBA WAMUWASHIA MOTO MALINZI....KISA KIZIMA HIKI HAPA

MALINZI (KUSHOTO) AKIWA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU, EDWARD LOWASSA


Mashabiki wa Simba wamecharuka baada ya Rais wa TFF, Jamal Malinzi kutupia mtandaoni akieleza droo ya upangaji sehemu ya mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho itafanyika ndani ya siku chache.

Malinzi ameeleza kwamba fainali itakuwa ni Mei 28 lakini droo itafanyika ndani ya siku chache.

Mashabiki wengi wanaoonyesha kuwa ni wa Simba, wamelalamika kwamba Malinzi anawafanyia figisu.

Wengi wamekuwa wakilalamika kwamba TFF imeanza kufanya figisu.

Lakini wengi walionyesha kushangazwa na kufanyika droo ili kupanga sehemu ambayo mechi itachezwa siku ya fainali.


Kwa kawaida mashaindano yote ya mtoano, siku ya fainali huwa inajulikana itachezwa katika uwanja upi wakati mwingine bila ya kujali timu zinatokea wapi.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt