asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Tuesday, June 6, 2017

SIMBA MAJANGA MATUPU....!!!! KUBWA ZAIDI LAIKUMBA CLUB HIYO LICHA YA UKONGWE WAKE,...TAZAMA HAPA KIKICHOTOKEA LEO


Nakuru All Stars imekuwa timu ya tatu ya Kenya kutinga nusu fainali ya michuano ya SportPesa Super Cup.


Nakuru imeitwanga Simba kwa mikwaju ya penalti 5-4 na kutinga nusu fainali na sasa itacheza na Gor Mahia ya Kenya pia.


Dakika 90 kati ya Nakuru na Simba iliisha kwa sare ya bila bao huku Nakuru wakionekana kupoteza nafasi nyingi zaidi.

Simba ilipewa nafasi ya kusonga kwa kuwa ni wazoefu na Nakuru si timu kubwa.

Simba iliwajaribu wachezaji kadhaa wakiwemo kutoka Rwanda lakini haikuonyesha makali sana.

Wakati wa upigaji penalti, wachezaji wawili wa kimataifa wa Simba, kipa Daniel Agyei ndiye aliyekosa penalti hiyo moja huku yeye akiruhusu zote tano kutinga wavuni.





No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt