asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Friday, March 31, 2017

Licha ya kupondwa sana mtandaoni,...Trump aja na hii kubwa kuliko

Trump anataja hatua hii kama chachu ya kuwamaliza wanamgambo hao haraka
Rais wa Marekani Donald Trump ameliruhusu jeshi la nchi hiyo kuongeza mashambulizi zaidi nchini Somalia kwa ajili ya kupambana na wanamgambo wa Al Shabab.
Hii italifanya jeshi la Marekani kutumia nguvu zaidi sambamba na vifaa vya kisasa kupambana na wana mgambo hao, huku pia wakitoa usaidizi wa karibu kwa jeshi la Somalia.
Inatarajiwa idadi kubwa ya wanajeshi wa Marekani wataelekea nchini Somalia kwa ajili ya operesheni hii.
Al Shabab wameendelea kufanya mashambulizi yanayosababisha vifo kila kukicha nchini Somalia na hata katika nchi jirani ya Kenya.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt