asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Wednesday, July 5, 2017

YANGA SASA HAWATAKI MCHEZOMCHEZO,..!!! WAMASJILI RASMI MSHAMBULIAJI ANAYETEGEMEWA SIMBA


LEO klabu ya Yanga yenye makazi yake Kariakoo mitaa ya Jangwani na Tiwga, imemthibitisha rasmi Ibrahim Ajibu kuwa ni mmoja wa wachezaji wa timu hiyo watakaopambana kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara na michezo ya kimataifa.

Ajibu ambaye hucheza katika nafasi ya mshambuliaji anakuwa mchezaji wa kwanza kujiunga na Yanga akitokea mikononi mwa watani wao Simba kwa msimu huu wa 2017/18.  Ajibu ataitumikia Yanga kwa miaka miwili kama mkataba wake unavyosema.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt