asali

mbogo

sawe tv

advertise

SLIDE MANENO


Usipitwe na chochote, tupo ili kukuhabarisha tembelea blog hii kila siku, pia usisahau ku subscribe youtube channel yetu ya sawe tv

Friday, December 16, 2016

China yakamata chombo cha Marekani baharini, Trump afunguka

Marekani imetoa ombi kwa China ikiitaka iwachilie chombo cha baharini ilichokamata katika maeneo ya bahari ya kimataifa.
Chombo cha USNS Bowditch kilikuwa kikifanya utafiti

                                        Chombo cha USNS Bowditch kilikuwa kikifanya utafiti

Jeshi la wanamaji wa China lilikamata chombo hicho cha utafiti wa chini ya bahari, kusini mwa bahari ya China siku ya Alhamis.
Kisa hicho kilitokea wakati meli moja ya Marekani ilikaribia kukiondoa chombo hicho baharini
Trump akosoa China kwenye Twitter.
Trump asema sera ya 'China Moja' itabadilika
Chombo hicho kwa jina "naval glider" kinatumiwa kufanyia utafiti viwango vya chumvi baharini na pia vya joto.
"Chombo hicho kilikuwa kikiendesha utafiti kulinga na sheria za kimataifa kusini mwa bahari ya China,"maafisa wa Marekani walisema.


No comments:

Post a Comment

MAKTABA YA MAGAZETI / NEWSPAPER LIBRARY....... SOMA HAPA MAGAZETI YA SASA NA YALIYOPITA

  • MAGAZETI.
  • Tree in field with blue sky.
  • MAGAZETIt